Mada ya 1: Uundaji Wa Maneno
a). Kutumia Uambishaji
i. Bainisha mofimu katika maneno
ii. Bainisha dhima za mofimu
b). Kutumia Mnyumbuliko
i. Elezea mazingira yanayosababisha mahitaji ya maneno mapya
ii. Fafanua dhima ya uambishaji na mnyambulikoa wa maneno
iii. Unda maneno mbalimbali kwa kutumia mnyambuliko
iv. Tumia maneno ya mnyambuliko katika miktadha mablimbali
Mada ya 2: Matumizi Ya Lugha Katika Miktadha Mablimbali
a). Rejesta
i. Wasiliana kwa kutumia rejesta
ii. Elezea dhima za rejesta
b). Misimu
i. Wasiliana kwa kutumia misimu
c). Lugha ya Kimazungumzo na ya Kimaandishi
i. Bainisha sifa ya lugha ya kimazungumzo
ii. Elezea dhima ya lugha ya kimazungumzo na ya kimaandishi
iii. Tumia lugha ya kimazungumzo na ya kimaandishi katika miktadha sahihi
d). Matamshi na Lafudhi ya Kiswahili
i. Elezea lafudhi mbalimbali za Kiswahili
e). Utata katika Mawasiliano
i. Elezea Sababu za Utata
Mada ya 3: Uhakiki Wa Kazi Za Fasihi Simulizi
a). Uhakiki wa Ushairi
i. Elezea vipengele vya fani na maudhui katika kuhakiki ushairi
b). Uhakiki wa Maigizo
i. Elezea vipengele vya fani na maudhui katika kuhakiki maigizo
Mada ya 4: Uhifadhi Wa Kazi Za Fasihi Simulizi
a). Njia za kuhifadhi Fasihi Simulizi
i. Bainisha njia za kuhifadhi fasihi simulizi
ii. Elezea ubora na udhaifu wa kila njia ya kuhifadhi kazi za fasihi simulizi
b). Umuhimu wa kuhifadhi kazi za Fasihi Simulizi
i. Elezea faida ya kuhifadhi fasihi simulizi
Mada ya 5: Utungaji Wa Kazi Za Kifasihi
a). Mashairi
i. Fafanua kanuni za utungaji wa mashairi
ii. Igiza ngonjera
b). Maigizo
i. Elezea kanuni za utungaji wa maigizo
Mada ya 6. Uandishi
a). Insha za Hoja
i. Elezea muundo wa insha za hoja
b). Barua Rasmi
i. Elezea dhima ya barua rasmi
ii. Elezea muundo wa barua rasmi
c). Simu
i. Elezea dhima ya simu ya maandishi
ii. Andika simu za maandishi kwa kuzingatia muundo na taratibu za uandishi
d). Kadi za Mialiko
i. Fafanua muundo wa kadi ya mialiko
e). Uandishi wa Dayalojia
i. Elezea dhana ya dayolojia
Mada ya 7: Usimulizi
a). Usimuliaji wa Matukio
i. Fafanua njia za usimulizi wa matukio
Mada ya 8: Ufahamu
a). Ufahamu wa Kusikiliza
i. Jibu maswali ya ufahamu kutokana na habari uliyoisikiliza
ii. Fupisha kwa mdomo habari uliyoisikiliza
b). Ufahamu wa Kusoma
i. Soma kwa sauti kwa kuzingatia lafudhi ya kiswahili
ii. Jibu maswali kutokana na habari uliyoisoma
iii. Fupisha habari uliyoisoma
c). Kusoma kwa Burudani
i. Mambo ya kuzingatia katika usomaji kwa burudani
d). Matumizi ya Kamusi
i. Elezea jinsi ya kutumia kamusi